Jinsi ya Kujiunga

Fuata hatua hizi rahisi kuanza mchakato wako wa kujiunga na jumuiya yetu.

1

Wasiliana Nasi

Anza kwa kuwasiliana nasi kupitia WhatsApp au barua pepe. Tutakupa taarifa za mwanzo na kujibu maswali yako yote kuhusu uwanachama.

2

Jaza Fomu ya Maombi

Utapewa fomu ya maombi ya uwanachama. Jaza taarifa zako zote kwa usahihi na ukamilifu. Taarifa hizi ni za siri na zinatumika kwa madhumuni ya usajili pekee.

3

Lipie Gharama za Usajili

Baada ya fomu yako kukubaliwa, utaelekezwa kulipa gharama za usajili. Gharama hizi zinagharamia mafunzo, nyaraka rasmi, na huduma mbalimbali za uwanachama.

4

Pata Mafunzo ya Mwanzo

Utahudhuria mafunzo ya awali yanayokufundisha kuhusu historia, taratibu, na majukumu ya mwanachama. Hii ni hatua muhimu ya safari yako.

5

Udhibitisho wa Uwanachama

Baada ya kukamilisha hatua zote, utapewa utambulisho rasmi wa uwanachama na kuanza kufaidika na huduma zote za jumuiya.

Gharama za Usajili

Gharama za usajili zinatumika kugharamia shughuli muhimu za jumuiya na huduma kwa wanachama.

Usajili wa Mwanachama Mpya

Gharama za mara moja za kujiunga

  • Ada ya Usajili wa Mwanzo
  • Nyaraka Rasmi za Uwanachama
  • Mafunzo ya Mwanzo (Initiation)
  • Kitambulisho cha Mwanachama
  • Mavazi ya Ibada (Regalia)
  • Upatikanaji wa Mtandao wa Wanachama
Wasiliana Nasi kwa Gharama

Kwa Nini Kuna Gharama za Usajili?

Sababu muhimu za kwanini ni lazima kulipa gharama za usajili wa mwanachama mpya.

Nyaraka na Uthibitisho

Gharama zinagharamia utengenezaji wa nyaraka rasmi, vitambulisho, na hati za uthibitisho wa uwanachama wako.

Mafunzo na Elimu

Sehemu ya gharama inakwenda kugharamia mafunzo, vifaa vya elimu, na programu za ukuaji wa wanachama wapya.

Huduma na Shughuli

Gharama zinasaidia kudumisha shughuli za jumuiya, mikutano, na huduma mbalimbali zinazotolewa kwa wanachama.

Kuonyesha Kujitolea

Kulipa gharama ni sehemu ya kuonyesha kujitolea kwako kwa jumuiya na nia yako ya dhati ya kujiunga.

Masharti ya Uwanachama

Mambo muhimu ya kuzingatia kabla ya kuomba kujiunga na jumuiya yetu.

  • Umri - Lazima uwe na umri wa miaka 18 au zaidi.
  • Nia ya Dhati - Uwe na nia ya kweli ya kujiunga na kufuata taratibu za jumuiya.
  • Kuzingatia Taratibu - Ukubali kufuata taratibu na kanuni zote za uwanachama.
  • Kukamilisha Usajili - Lazima ukamilishe hatua zote za usajili bila kukwepa au kuruka hatua yoyote.
  • Kulipa Gharama - Uwe tayari kulipa gharama zote za usajili kama zinavyoelekezwa.
  • Kujisimamia - Mwanachama mpya anapaswa kujisimamia mwenyewe kuonyesha nia yake ya kujiunga.

Taarifa Muhimu Kuhusu Misaada

Misaada yote ya jumuiya hutolewa kwa wanachama tu ambao wamekamilisha usajili wao na account zao kudhibitishwa. Wanachama wanaopata misaada ni wale tu wanaozingatia taratibu za uwanachama wao kikamilifu.

Tahadhari

Chama kuwa na fedha nyingi au mali hakutohusisha kusaidia usajili au taratibu zozote zitakazomuhusu mwanachama mpya. Mwanachama mpya anapaswa kuzingatia na kujisimamia kuonyesha nia yake ya kujiunga kikamilifu na kufuata taratibu.

Chama Hakitoi Msaada kwa Wasiosajiliwa

Chama hakitoi misaada, fedha au mali binafsi kwa yoyote mmoja mmoja asiyesajiliwa au ambaye si mwanachama. Tafadhali usidanganywe na watu wanaodai kutoa msaada kwa jina la chama - misaada yote rasmi hutolewa kupitia njia zilizowekwa kwa wanachama waliodhibitishwa pekee.

Maswali Yanayoulizwa Zaidi

Majibu ya maswali ya kawaida kuhusu usajili na uwanachama.

Mchakato wa usajili unachukua kati ya wiki mbili hadi mwezi mmoja kulingana na ukamilishaji wako wa hatua zote. Tunahakikisha kila mwanachama mpya anapata mafunzo yanayostahili kabla ya kudhibitishwa rasmi.
Wasiliana nasi moja kwa moja kupitia WhatsApp kujadili chaguzi za malipo. Tunajitahidi kuwa na mipango inayoweza kusaidia watu wengi zaidi kujiunga.
Ndiyo, taarifa zote za wanachama zinashughulikiwa kwa siri kuu. Tunatumia mifumo ya kisasa ya usalama wa taarifa na hatushiriki taarifa za wanachama na mtu yeyote nje ya jumuiya.
Uwanachama ni wa hiari. Mwanachama yeyote anaweza kuomba kujiondoa kwa kuandika barua rasmi kwa uongozi. Hata hivyo, gharama za usajili hazirudi baada ya mchakato kukamilika.
Baada ya usajili wa awali, kuna michango ya hiari na ada ndogo za mara kwa mara zinazosaidia kudumisha shughuli za jumuiya. Maelezo kamili utapewa baada ya kujiunga.
Freemason Tanzania

Tayari Kuanza Safari Yako?

Wasiliana nasi leo kupitia WhatsApp au barua pepe. Timu yetu ipo tayari kukusaidia na kujibu maswali yako yote.

WhatsApp